Mkuu wa Mafunzo na Utendaji Kivita, Meja Generali Issa Nassoro (kushoto) akimkabidhi Bendera Mkuu wa Msafara wa timu teule za Jeshi, Brigedia Generali, Jairos Mwaseba, atakayeongoza timu itakayoshiriki mashindano ya Afrika Mashariki yanayoanza Agosti 5 hadi 18 Kigali Rwanda. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam Agosti 3. 2016. (Picha na Seleman Semunyu, JWTZ).
Home
Unlabelled
TIMU YA MAJESHI YAKABIDHIWA BENDERA TAYARI KWA KUSHIRIKI MASHINDANO YA AFRIKA MASHARIKI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...