Dkt. Licky Abdallah ambaye ni Mchambuzi nguli wa masuala ya Soka nchinia kizungumza na waandishi wa habari kuhusiana  na  uzinduzi wa kuonyesha Mechi za ligi kuu za Uingereza zitakazokuwa zinaonyeshwa na kituo cha TV 1 kuanzia msimu huu.
Joseph Sayi Mkurugenzi mkuu wa TV 1 akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa kuonesha mechi za ligi kuu ya Uingereza  zitakazooneshwa kituo cha televisheni cha TV 1 inayopatikana kwenye king'amuzi cha Startimes
 Gillian Rugumamu Meneja masoko wa TV 1 akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu kituo cha televisheni cha TV 1 kilivyojipanga kuonesha mechi za ligi kuu ya Uingereza itakayoaanza wiki ijayo.
Meneja wa Uzalishaji wa Vipindi wa TV1, Mukhsin Mambo  akionesha waandishi wa habari sehemu ya itakayotumika kurushia matangazo ya mechi za ligi ya Uingereza zitakazorushwa kupitia kituo cha Televisheni cha TV 1

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...