Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mwenyeez Mungu azidi kukulinda Mh. Rais wetu wa awamu ya tano John Pombe Joseph MAGUFULI. In Sha Allah, tunazidi kukuombe kila DUA njema ili Mwenyeez Mungu azidi kukuongeza na kukupa nguvu na ujasiri huo huo siku hadi siku ili uzidi kupigania haki za wanyonge, maskini na wanachi wote waliokuwa madhilani ambao ndio wengi waliokuwa wakiadhibika miaka nenda miaka rudi pasina kujuwa ni lini na ipi ingekuwa khatma yao. Yote uyatendayo jaza yako utaikuta kesho mbele ya haki twendako, usikate tamaa wala kukatishwa tamaa na chochote au yeyote yule, msema kweli siku zote ni mpenzi wa Mungu ya walimwengu hayakosekani, yape mgongo endelea kuchapa kazi kwa manufaa ya kila mwananchi na kila Mtanzania na Taifa zima kwa jumla, pasina kujali itikadi au tofauti zozote zile zilizopo. Mungu Ibariki Tanzania, Ibariki Afrika, Ibariki Dunia nzima kwa jumla na umbariki Rais wetu Mh.JPM - AMEN.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...