Viwanja hivi vipo Kimbiji, Kata ya Pemba Mnazi eneo la Tundwi Centre. Vimepimwa na kupangika vizuri kama vinavyoonekana kwenye picha. Viko umbali wa Kilometa mbili kutoka barabara kuu na kunafikika kwa urahisi.

Kwa Mawasilino piga namba.
0717 138684 au 0657 867264

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...