Wajumbe wa bodi ya STAMICO wakipanda scip kwa ajili ya kuingia kwenye mgodi wa madini ya Tanzanite uitwao CT.
Wajumbe wa bodi ya wakurugenzi wa shirika la madini nchini (STAMICO) wakiwa na baadhi ya watumishi wa kampuni ya TanzaniteOne walipotembelea mgodi wanaoumiliki kwa ubia na kampuni hiyo uliopo mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara.
Wajumbe wa bodi ya shirika la madini nchini (STAMICO) wakiwa na Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi Balozi Alexiander Muganda, (wa pili kushoto) baada ya kutembelea mgodi wanaoumiki kwa ubia na kampuni ya TanzaniteOne uliopo mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la madini nchini (STAMICO) Zena Kongoi akizungumza na waandishi wa habari, kwenye mgodi wanaoumiliki kwa ubia na kampuni ya TanzaniteOne.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...