Umoja
wa wanafunzi wazaliwa na waliosoma na kumaliza kidato cha nne kati ya
mwaka 1980-82 katika Shule ya Sekondari Uyui iliyoko Mkoani Tabora,
wakiwa katika picha ya pamoja wakati walipofanya sherehe ikiwa ni ishara
ya kufurahia kukutana ambapo iliandamana na mkutano wao rasmi wa kwanza
baada ya kuanzishwa umoja huo jijini Dar es Salaam jana
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...