Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akijadiliana jambo na Kaimu Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa- Iringa, Repson Joshua wakati Waziri huyo alipofanya ziara mkoani humo na kupewa taarifa ya utendaji kazi wa Shirika baadaye kufanya ziara ya kutembelea nyumba zilizokuwa za NHC zamani na kukabidhiwa kwa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa baadaye kurejeshwa Serikali Kuu na akakutana na wapangaji waliokuwa wamepanga kwenye nyumba hizo.

Waziri alikusudia kuona hali alisi ya nyumba zilizopo Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, ili kupata taswira ya nyumba zote zilizoko Mikoa mingine na kutoa taarifa ya Mheshimiwa Rais juu ya mustakali wa nyumba hizi.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akisalimiana na wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa- Iringa wakati Waziri huyo alipofanya ziara mkoani humo na kupewa taarifa ya utendaji kazi wa Shirika baadaye kufanya ziara ya kutembelea nyumba zilizokuwa za NHC zamani na kukabidhiwa kwa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa baadaye kurejeshwa Serikali Kuu na akakutana na wapangaji waliokuwa wamepanga kwenye nyumba hizo.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akionyeshwa ramani ambapo nyumba zilizorudishwa TAMISEMI zilipo.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi, akizungumza na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa, Alex Boniphace Kimba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...