Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bibi. Nuru Millao (kushoto) alipowasili katika banda la Chama cha Waandishi wa Habari za Utalii na Uwekezaji (TAJATI) katika viwanja vya Nanenane John Mwakangale jana Jijini Mbeya. Katikati ni Mwenyekiti wa TAJATI Bw. Ulimboka Mwakilili
 Mwenyekiti wa TAJATI Bw. Ulimboka Mwakilili (wapili kulia) akitambulisha baadhi ya wajumbe wa TAJATI kwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa alipowasili katika banda la Chama cha Waandishi wa Habari za Utalii na Uwekezaji (TAJATI) katika viwanja vya Nanenane John Mwakangale jana Jijini Mbeya kwa ajili ya kuzindua chama hicho
 Mwenyekiti wa TAJATI Bw. Ulimboka Mwakilili (kushoto) akimuonyesha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa picha yenye sura ya kufanana naye iliyochorwa na mmoja wa wanachama wa TAJATI baada ya kuzindua chama hicho jana Jijini Mbeya katika viwanja vya Nanenane John Mwakangale. Katikati ni mke wa Waziri Mkuu mama Mary Majaliwa. Picha zaidi BOFYAHAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...