Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Charles Mwijage akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Meja Gen. Mstaafu, Mhe. Salum M. Kijuu, mara baada ya kufanya mazungumzo ofisini kwa Mkuu wa Mkoa.
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Charles Mwijage akiwa katika moja ya banda la mifugo, wakati alipotembelea Maonyesho ya Wakulima yanayoendelea kufanyika Mkoani Kagera na kujionea shughuli mbalimbali zinazofanyika kwenye Maonyesho hayo.
Nshomile
ReplyDelete