Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa akipita katika jengo la abiria wanaonkwenda Unguja wakati alipotembelea bandari ya Dar es Salaam kukagua utendaji wa mashine za kukagua mizigo na abiria bandarini hapo.
 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa akiongea na abiria wanaosafiri kuelekea Unguja wakati alipotembelea bandari ya Dar es Salaam kukagua utendaji wa mashine za kukagua mizigo na abiria bandarini hapo.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (kushoto), akitoa maelekezo kwa Kaimu Meneja wa Uendeshaji Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Bw. Percoval Salama (wa kwanza kulia)  wakati alipotembelea bandari ya Dar es Salaam.
PICHA NA WIZARA YA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO (WUUM)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...