Jumamosi ya tarehe  27/8/2016, kituo cha redio cha efm kilisepa na kijiji cha Boko kama ilivyo kauli mbiu yao ya “Tunasepa na kijiji” katika tamasha la mziki mnene lililoanza na jogging, ikifuatiwa na kutafuta vipaji vya wasanii chipukizi wa muziki wa singeli na jioni timu ya efm redio ikachuana vilivyo na timu ya Boko beach veterans katika mchezo wa mpira wa miguu na baadaye kuamia Fyatanga bar ambapo timu nzima ya Efm, Rdjs iliwasha mziki mnene na kuburudisha wasikilizaji wake.
Rdj’s X5 akisababisha katika Bar, usiku wa muziki mnene.
Mashabiki wa efm wakiserebuka na burudani ya muziki kutoka kwa rdj’s.
Mshindi aliyeshida kucheza ki 4G akikabidhiwa zawadi ya simu na tshirt kutoka Vodacom.
Klabu ya efm jogging wakikimbia na wakazi wa Boko.   
Washiriki 10 waliopatikana katika kumpata mkali wa Singeli michano kupitia funga mtaa ya efm redio wakiwa na majaji.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...