SIMU.tv: Inaelezwa kuwa vijana wengi wa kitanzania bado wanakabiliwa na changamoto mbali mbali ikiwemo changamoto ya kiuchumi; https://youtu.be/zGW_8PtJr3Y
SIMU.tv: Mkuu wa mkoa wa Mbeya Amos Makala asitisha zoezi la uchenjuaji dhahabu katika mgodi wa Mbuyuni uliopo Chunya ; https://youtu.be/EWrbu3lJ-nQ
SIMU.tv: Wananchi wa Kalulu wilyani Tunduru wako hatarini kukumbwa na njaa kutokana na Tembo kuvamia mashamba ya wananchi hao; https://youtu.be/OMyffvpznt8
SIMU.tv: Rais John Magufuli asema wakati umefika wa kukisafisha Chama Cha Mapinduzi CCM. https://youtu.be/ZTOQRR11IxQ
SIMU.tv: Makamu wa Rais Samia Suluhu awataka watoto wa kike nchini kuchangamkia masomo ya sayansi. https://youtu.be/ezwrMjHUcVE
SIMU.tv: Mkuu wa mkoa wa Ruvuma ampa siku 7 aliyekuwa kaimu mkuu wa idara ya ujenzi halmshauri ya Nyasa kujibu tuhuma za ubadhilifu wa fedha za umma;https://youtu.be/7du-JsP84wY
SIMU.tv: Serikali wilayani Mwanga yawataka wananchi wa kijiji cha Kileo kuzingatia taratibu na sheria za ardhi; https://youtu.be/L-_NT0b4ZQ0
SIMU.tv: Wakazi wa kata ya Kayenze wilayani Ilemela mkoani Mwanza waiomba serikali kuwaboreshea huduma ya maji safi na salama; https://youtu.be/-Tg893bQ6d4
SIMU.tv: Wakazi wa kijiji cha Gubali mkoani Dodoma wapiga kura ya kumuondoa mwenyekiti wao kwa kushindwa kutimiza wajibu wake vizuri;ttps://youtu.be/8ZWTSSoEBrI
SIMU.tv: Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt. John Magufuli awataka wanachama wa CCM kuzingatia maadili ya chama; https://youtu.be/DLGeOvUCHUA
SIMU.tv: Mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara Yanga, leo wanaikaribisha timu ya Mo Bejaia katika mchezo wa nne ili kuwania mchezo wa shirikisho barani Afrika;https://youtu.be/9n9AkGkyUCY
SIMU.tv: Mkuu wa koa wa Dar Es Salaam Mh.Paul Makonda anatarajia kupanda ulingoni kuzichapa na bondia Francis Cheka katika pambano la kuhamasisha usafi jijini Dar Es Salaam: https://youtu.be/WlVxR8r_2r4
SIMU.tv: Mwanariadha wa Ethiopia Almaz Ayana amevunja rekodi ya dunia ya mbio za mita elfu 10 katika mashindano ya Olympic nchini Brazili: https://youtu.be/zka6FlUCHFM
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...