Tazama kauli ya mjumbe wa mkutano mkuu wa CUF akifafanua jambo kuhusu hali inayoendelea ndani ya CUF; https://youtu.be/8dcj4iw1_KM

 Msajili wa vyama vya siasa nchini  Jaji Mutungi awaondoa wasi wasi watanzania kuhusu hali ya kisiasa inayoendelea nchini; https://youtu.be/sdvXB_fh3Fs
 Waziri mkuu Kassim Majaliwa amuagiza mkuu wa wilaya ya Nkasi kuwakamata watu wanaojihusisha na uharibifu wa misitu; https://youtu.be/arC96tIIQoU
 Chuo kikuu cha Dodoma UDOM kinaandaa mtaala ya shahada ya uzamili ya mafuta na gesi ili kupata wataalam wa kutosha katika sekta ya mafuta na gesi;https://youtu.be/41fjciHW1b8
 Halmshauri ya wilaya ya Mufundi  mkoani Iringa yabaini udanganyifu mkubwa katika vibali vya kusafirisha mbao; https://youtu.be/9gHNSMGQo1w
 Pata uchambuzi makini kuhusiana na taaluma ya maendeleo ya jamii inayotolewa na vyuo takribani 9 vya wizara ya afya; https://youtu.be/2oa45_YaGvs
 Je unafahamu namna sahihi ya kukuza biashara? Ungana na mchambuzi wako mahiri upate mbinu sahihi za kukuza biashara yako; https://youtu.be/EeGSLh5bzTY
 Timu ya Yanga  imekamilisha ratiba ya mashindano ya kombe la shirikisho barani Afrika kwa  kukubali kipigo cha mabao 3 kwa 1 kutoka kwa TP Mazembe:https://youtu.be/3Ja3DUkQ9w4
 Kocha msaidizi wa timu ya African Lion amesema wanaendelea kufanya marekebisho katika kikosi chao ili kufanya vizuri katika mechi yao ya ligi kuu Tanzania bara:https://youtu.be/Y97EgjBd2kA
 Timu ya mpira wa miguu ya ufukweni  ya Tanzania ijumaa hii itashuka ulingoni na kucheza na Ivory Coast kuwania nafasi ya kombe la kimataifa;https://youtu.be/ICyRO15NGzE.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...