SIMU TV: Mkuu wa wilaya ya Ilala Sophia Mjema azindua kampeni mahususi kwa kuwasadia waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera ;https://youtu.be/NPEVTxFA3NI
SIMU TV: Baadhi ya waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera wamesema bado hawajafikiwa na misaada; https://youtu.be/r6XjRoV7V98
SIMU TV: Watanzania wametakiwa kutumia huduma ya bima kwa mali muhimu na zile zisizohamishika; https://youtu.be/tNXcUCFGYqI
SIMU TV: Fuatilia sehemu ya pili ya maisha ya msichana Wakonta Kapunda aneyeandika kwa kutumia ulimi; https://youtu.be/pQ_CdfqmEVE
SIMU TV: Mashabiki wa soka nchini kuona bure mechi baina ya Serengeti Boys na timu ya vijana ya Congo – Brazzaville; https://youtu.be/P-ljNQD9EuE
SIMU TV: Klabu ya Simba yaitandika Azam FC goli 1-0 katika mchezo wa ligi kuu soka Tanzania bara uliochezwa katika dimba la Uhuru Dar es Salaam;https://youtu.be/he_2zOEF2tY
SIMU TV: Klabu ya Arsenal yaitandika bila huruma klabu ya Hull City kwa jumla ya goli 4-1 katika mchezo wa ligi kuu soka ya Uingereza; https://youtu.be/Cc6vbFmimEo
SIMU TV: Mvua kubwa sana iliyonyesha mkoani Rukwa imesababisha nyumba 21 kuanguka,vifo vya mifugo na watoto watatu kunusurika kifo:https://youtu.be/Cix0yj0riAg
SIMU TV: Serikali imesema azimio lake la kujenga uchumi wa viwanda litafanikiwa ikiwa wataungwa mkono na wafanyabiashara wa ndani;https://youtu.be/c0WtsRcWpe0
SIMU TV: Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati ya maji na umeme EWURA imebaini kuwepo kwa kiwanda bubu cha gesi kilichopo Mbagala wilayani Temeke:https://youtu.be/sWPVlGYCJKM
SIMU TV: Kaya zilizopo kwenye mpango wa kunusuru kaya maskini wilayani Kiteto zimeomba kuongezewa fedha wanazopewa na TASAFU ili kukidhi haja zao:https://youtu.be/vMuztpCfnsc
SIMU TV: Timu ya Simba imefanikiwa kuongoza katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara baada ya kuichabanga timu ya Azam goli moja; https://youtu.be/MRLmoXMYr_Y
SIMU TV: Mashindano ya siku 2 ya sanaa ya mapigano yenye asili ya China WUSHU yamezinduliwa leo katika uwanja wa taifa jijini Dar Es Salaam:https://youtu.be/TZAgSkpnI28
SIMU TV: Polisi nchini Ujerumani wameimarisha doria, ulinzi na usalama wa hali ya juu wakati linapoanza tamasha kubwa la bia duniani: https://youtu.be/VSlhZRvxNkE
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...