Balozi wa Tamasha la Majimaji Selebuka, Nathan Mpangala ambaye pia ni mchora vibonzo akitoa mrejesho kuhusu tamasha la Majimaji Selebuka katika mkutano wa wadau uliofanyika mwishoni mwa wiki uliofanyika katika ukumbi wa ‘Nafasi Art Space’ uliopo Mikocheni, jijini Dar es Salaam. Tamasha la Majimaji Selebuka lilifanyika Songea, mkoani Ruvuma mwishoni wa mwezi wa tano mwaka huu.
Baadhi ya wadau waliojitokeza kwenye mkutano wa mrejesho kuhusiana na tamasha la Selebuka wakifuatilia makala ya video iliyokuwa ikionesha matukio mbalimbali kuhusiana na tamasha hilo.
Balozi wa Tamasha la Majimaji Selebuka, Nathan Mpangala (aliyenyoosha mkono) akifafanua jambo kwa wadau hao. Balozi huyo amewashukuru watu wote waliojitokeza na kuchangia maoni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...