Mwanafunzi Eugene Kephasi, akimvika skafu, aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mahafali ya saba ya darasa la saba katika Shule ya Goshen Nursery and Primary School Bunju jijini Dar es Salaam leo mchana.
Kafulila (katikati) na viongozi wa shule hiyo wakielekea meza kuu tayari kwa mahafali hayo. Kutoka kulia ni Mkuu wa shule hiyo, Felister Mrutu, Mkurugenzi wa Shule, Nipael Mrutu, Lupi Kiyabo na Mchungaji Elisifa Kephasi.
Wanafunzi wakiwa tayari kwa gwaride.
Wanafunzi wa darasa la saba wakiwa kwenye mahafali yao.
Kweli haya maendeleo. Hao watoto wa shule ya msingi! vipi hizo nywele?
ReplyDelete