Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Pindi Chana, akisalimiana na Mkurugenzi wa Taasisi ya Global Partners Governence, Greg Power kabla ya kuanza mazungumzo, leo jijini Dar es Salaam. Mazungumzo hayo yalihusu namna CCM itakavyoweza kushirikiana na Taasisi hiyo ya masuala ya uongozi, katika nyanja mbalimbali. Wengine kulia ni Meneja Mradi mwandamizi wa Taasisi hiyo, Nedjma Ouerdane, na kushoto ni Assifu Lompo pia kutoka Tassisi hiyo.
Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Pindi Chana, akiwa katika mazungumzo na Mkurugenzi wa Taasisi ya Global Partners Governence, Greg Power, leo jijini Dar es Salaam. Mazungumzo hayo yalihusu namna CCM itakavyoweza kushirikiana na Taasisi hiyo ya masuala ya uongozi, katika nyanja mbalimbali. Wengine kulia ni Meneja Mradi mwandamizi wa Taasisi hiyo, Nedjma Ouerdane, na wapili kushoto ni Assifu Lompo pia kutoka Tassisi hiyo.
Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Pindi Chana, akiwa katika mazungumzo na Mkurugenzi wa Taasisi ya Global Partners Governence, Greg Power, leo jijini Dar es Salaam. Mazungumzo hayo yalihusu namna CCM itakavyoweza kushirikiana na Taasisi hiyo ya masuala ya uongozi, katika nyanja mbalimbali. Wengine kulia ni Meneja Mradi mwandamizi wa Taasisi hiyo, Nedjma Ouerdane, na wapili kushoto ni Assifu Lompo pia kutoka Tassisi hiyo.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Pindi Chana, akiwa katika picha ya pamoja  na Mkurugenzi wa Taasisi ya Global Partners Governence, Greg Power na ujumbe wake baada ya mazungumzo na ujumbe huo leo jijini Dar es Salaam.  Kulia ni Meneja Mradi mwandamizi wa Taasisi hiyo, Nedjma Ouerdane, na kushoto ni Assifu Lompo pia kutoka Tassisi hiyo. PICHA NA BASHIR NKOROMO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...