Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Jacquiline Materu(kushoto)Meneja Uhusiano wa kampuni hiyo,Matina Nkurlu(katikati)wakimshuhudia mshindi wa kitita cha shilingi milioni 20/- wa promosheni ya Kamata Mpunga, Frank Lyimo Mkazi wa Kibamba jijini Dar es Salaam akionesha kitita chake kwa waandishi wa habari wakati wa hafla fupi ya makabidhiano hay oleo jijini Dar es Salaam. Ili mteja aweze kushiriki katika promosheni hii anatakiwa kutuma neno “GO”kwenda namba 15544 aidha mteja anaweza kujiunga moja kwa moja kwa kutuma neno”WIN”kwenda namba 15544 na mteja atapata ujumbe wa kujibu maswali.
Frank Lyimo Mkazi wa Kibamba jijini Dar es Salaam(kulia)akipokea kitita cha shilingi Milioni 20/-kutoka kwa Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Jacquiline Materu(kushoto)alizojishindia katika droo ya wiki ya promosheni ya ‘Kamata Mpunga’inayowawezesha wateja wa mtandao huo kujishindia pesa taslimu kuanzia shilingi Milioni 1 hadi 100. Ili mteja aweze kushiriki katika promosheni hii anatakiwa kutuma neno “GO”kwenda namba 15544 aidha mteja anaweza kujiunga moja kwa moja kwa kutuma neno”WIN”kwenda namba 15544 na mteja atapata ujumbe wa kujibu maswali,katikati ni Meneja wa kampuni hiyo,Matina Nkurlu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...