Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. hii ndege inaonekana kabisa ni mpya , isiwe kuharibika kila mara kwa ukosefu kwa uangalizi, tatizo letu tukipata kitu kipya tunasahau kufanyia service inapofika muda wake mpaka inaharibika ndio huwa tunaanza kutafutana. Pia bei ya tiketi inatakiwa iwe nafuu kuliko ndege nyengine zilizopo nchini za mashirika binafsi ndipo lengo litakuwa limefikiwa , hatutaki tena ATC watuambie wamepata hasara , huwa wanapata hasara vipi wakati ndege zao huwa hazikosi abiria? waache uwizi( sisemi ubadhirifu wala ufisadi tuwe wakweli mtu akiiba ni mwizi hakuna jengine)

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...