Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Jacquiline Materu ( wa pili kulia) akisaidiwa na Meneja Uhusiano wa kampuni hiyo, Matina Nkurlu, kugawa simu kwa washindi wa mashindano yaliyodhaminiwa wa Vodacom Tanzania ya Dance 100% 2016 katika viwanja vya Don Bosco Upanga jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Makorokocho waliibuka washindi wa shindano hilo kwa mwaka 2016.
Wasanii wa kundi la Makorokocho wakifanya vitu vyao kwenye fainali ya mashindano yaliyodhaminiwa na Vodacom Tanzania ya Dance 100% 2016 katika viwanja Vya Don Bosco Upanga jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Makorokocho waliibuka washindi wa shindano hilo kwa mwaka 2016.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...