Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Jacquiline Materu
( wa pili kulia) akisaidiwa na Meneja Uhusiano wa kampuni hiyo,
Matina Nkurlu, kugawa simu kwa washindi wa mashindano yaliyodhaminiwa
wa Vodacom Tanzania ya Dance 100% 2016 katika viwanja vya Don Bosco
Upanga jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Makorokocho waliibuka
washindi wa shindano hilo kwa mwaka 2016.
Home
BURUDANI
KUNDI LA MAKOROKOCHO TOKA TEMEKE LAIBUKA WASHINDI WA DANCE 100% 2016 CHINI YA VODACOM TANZANIA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...