Mkuu wa Mkoa wa Morogoro,Dk. Stephen Kebwe akizungumza katika kondamano la uwewkezaji linalofanyika mkoani Mrorogoro. (Picha na Francis Dande)
 Afisa Kumbukumbu wa LAPF, Florian Mbassa akitoa maelezo kuhusu Mfuko wa LAPF kwa mmoja wa washiriki wa kongamano hilo.
 Mkuu wa Mkoa wa Morogoro,Dk. Stephen Kebwe akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kondamano la uwekezaji mijini Mrorogoro.  
Mkurugenzi wa Benki ya CRDB Morogoro, Lusingi Sitta (katikati) akiwa na Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa LAPF, James Mlowe (kulia) katika mkutano wa Uwekezaji mjini Morogoro. Kushoto ni Meneja wa LAPF Kanda ya Mashariki, Sayi Lulyalya.
 Mkurugenzi wa Huduma kwa Wanachama wa Mfuko wa Pensheni LAPF, Valeerian Mablangeti akitoa maelezo kwa watu waliofika katika kongamano la Uwekezaji mjini Morogoro.

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...