Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mh Paul Makonda (kushoto )akimkabidhi zawadi ya Kikombe Mshindi wa Jumla wa Kombe la Mkuu wa majeshi CDF TROPHY mpiga Golf ambaye ni Mkuu wa majeshi Mstaafu Jenerali George Watara mara baada ya mashindano katika Uwanja wa Golf Lugalo Jijini Dar es Salaam jana Septemba 24.
Mshindi wa Jumla wa mashindano ya CDF Trophy 2016 Mkuu wa majeshi mstaafu George Waitara (wa kwanza kulia)akipokea Mfano wa Tiketi ya Ndege aliyopewa baada ya kushinda Wapili kulia ni Mnadhimu mkuu wa jeshi Luteni Jenerali Venance Mabeyo,watatu Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam Paul Makonda na Wakwanza kushoto ni mwenyekiti wa Lugalo Golf Club Brig Gen Michael Luwongo.(Picha
Mshindi wa Jumla wa mashindano ya CDF Trophy 2016 Mkuu wa majeshi Mstaafu George Waitara (wa kwanza kulia)akipiga mpira wakati wa mashindano hayo katika uwanja wa Golf Lugalo Dar es Salaam wakwanza kushoto ni katibu Mkuu Wizara ya Ulinzi Mh Job Masima.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...