Wafanyabiashara wa Biashara Ndogondogo Maarufu kwa Jina la Machinga waanza kunufaika na Soko kuu la Kimataifa la Mwanjelwa lililopo Jijini Mbeya mara baada ya Serikali kuwaruhusu kuingia katika Soko hilo na kuwapiga marufuku kufanya tena Biashara zao nje ya Soko hilo na kuzingatia Utaratibu na Sheria za Soko hilo la Mwanjelwa Jijini Mbeya.
Moja kati ya Wafanyabiashara hao akijipatia Taswira kwenye moja ya kijieneo alicho Kibuni kwajili ya kufanyia Biashara zake katika Soko hilo la Mwanjwelwa Jijini Mbeya.
Kikundi cha Wafanyabiashara hao  ya umachinga wakidhadhiana Jambo ndani ya wigo wa Soko hilo mara baada ya kuruhusiwa kufanya Biashara zao ndani ya Soko hilo la Mwanjelwa.

Moja ya Barabara Iliyo kuwa ikitumika na Wafanya Biashara hao katika Eneo la Mwanjelwa sasa Shwarii kabisaa hakuna anaeuza Nje ya Wigo wa Soko hilo.
PICHA ZOTE NA MR.PENGO WA MMG MBEYA.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...