Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suuhu akisalimiana na viongozi mbalimbali wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro, tayari kwa ufunguzi wa mkutano wa SARPCCO EXTRA ORDINARY MEETING kesho Septemba 16, 2016 katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa AICC, Jijini Arusha. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...