Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akiweka jiwe la msingi la funguzi wa hotel ya Ramada Encore
yenye hadhi ya nyota 5 jijini Dar es Salaam, kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hoteli hiyo Bw. Abdul Ismail.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akihutubia wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa hoteli ya Ramada Encore iliyopo katikati ya jiji la Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan (kulia)akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Hoteli Ramada Encore Bw. Abdul Ismail wakati wa halfa fupi wa uzinduzi wa Hotel ya Ramada Encore jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuzindua hoteli ya nyota 5 ya Ramada Encore katikati ya jiji la Dar es salaam.
nimecopy na ku paste vigezo vya 5 star hotel.navyojua mm sidhani kama Tanzania kuna hotel ya nyota tano..
ReplyDeleteThe Superior flag is provided when the first class hotel has a proven high quality not only in the rooms. The superior hotels provide for additional facilities in the hotel like a
sauna or a workout room. The quality is checked regularly by mystery guesting of an external inspection service.
Reception opened 24 hours, multilingual staff
Doorman-service or valet parking
Concierge, page boy
Spacious reception hall with several seats and beverage service
Personalized greeting for each guest with fresh flowers or a present in the room
Minibar and food and beverage offer via room service during 24 hours
Personal care products in flacons
Internet-PC in the room
Safe in the room
Ironing service (return within 1 hour), shoe polish service
Turndown service in the evening
Mystery guesting