Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, NandiMwiyombella(wapili kushoto) na Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa kampuni hiyo ambayo ni wadhamini wakuu wa ligi, Jacquiline Materu wakisalimiana  na wachezaji wa Azam FC walipokuwa wakikagua timu  hiyo wakati wa   mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara  kati ya Azam na Simba uliofanyika jana   uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, Simba ilishinda 1-0.
 Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Nandi Mwiyombella akikagua timu ya Simba SC akiwa na maafisa waTFF wakati wa   mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara  kati ya Azam na Simba uliofanyika jana   uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, Simba ilishinda 1-0.
 Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Nandi Mwiyombella,(wapili kulia) na Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Jacquiline Materu,wakiongozwa viongozi wa TFF mara baada ya kukagua timu za Simba na Azam wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara uliofanyika kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam,Simba ilishinda 1-0
 Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Rosalynn Mworia(wapili kulia) akisalimiana na mwanachama wa Simba Juma Kapuya  wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara kati ya Simba na Azam uliofanyika kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.Katikati ni mwenyekiti wa kamati ya usajili wa timu hiyo Zacharia Hanspoppe,Simba ilishinda 1-0.
Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Nandi Mwiyombella,(wapili kulia) na Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Jacquiline Materu,wakiangalia mechi kati ya  timu za Simba na Azam wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara uliofanyika kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam,Simba ilishinda 1-0

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...