Mbunge wa Simanjiro James Ole Millya akishikana mikono na Mwanamuziki
wa nchini Marekani Kristie Cooter ishara ya uzinduzi wa madarasa manne
katika shule hiyo yaliyojengwa kwa ufadhili wa shirika lisilokua la
kiserikali la Wings of Kilimanjaro.Picha na Woinde Shizza
Mbunge wa Simanjiro James Ole Milya akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya
Msingi Emboreet mara baada ya kuzindua madarasa manne katika shule hiyo
yaliyojengwa kwa ufadhili wa shirika lisilokua la kiserikali la Wings of
Kilimanjaro.
Mbunge wa Simanjiro James Ole Millya akiteta jambo na Mwanamuziki wa
nchini Marekani Kristie Cooter katika uzinduzi wa madarasa manne katika
shule hiyo yaliyojengwa kwa ufadhili wa shirika lisilokua la kiserikali
la Wings of Kilimanjaro.PICHA NA WOINDE SHIZZA
Thank you Mheshimiwa kwa mara ya kwanza toka uchaguzi mmefanya kitu kinachoeleweka
ReplyDelete