Kelvin akipongezwa wakati akipita mezakuu kupokea cheti chake cha kuhitimu kidato cha nne wakati wa mahafali hayo.
Kijana Kelvin Jackson Kalasha akitafakari kwa furaha, wakati wa Mahafali ya kumaliza kidato cha Nne katika shule ya Tusiime, Kampasi ya Tabata, Dar es Salaam, jana, Septemba 17, 2016
Kijana Kelvin Jackson Kalasha (Kushoto) akiwa na wahitimu wenzake wa kidato cha nne, wakati wa Mahafali ya kumaliza kidato hicho katika shule ya Tusiime, Kampasi ya Tabata, Dar es Salaam, jana, Septemba 17, 2016
"Mama Mdogo", Kijana Kelvin akimwambia Caroline Kisamo, mwanzoni mwa sherehe hiyo ya mahafali ya kidato cha nne katika shule ya Tusiime, jana. Katikati ni Mama Kelvin, Ever Kalasha
Wanafamilia wakiwa kwenye mahafali hayo. Kushoto ni Caroline Kisamo. PICHA ZAIDI BOFYA HAPA |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...