WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa akiingia uwanjani kukagua timu ya Wabunge mashabiki wa Yanga na wabunge mashabiki wa Simba katika uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, leo wakati mchezwa hisani ya kuchangishafedha kwa ajili wahanga watetemeko la ardhi, mkoani Kagera.Yanga walishinda bao 5-2

 WAZIR Mkuu, Kassim Majaliwa, viongozi wengine na timu wakiimba wimbo wa Taifa kabla ya kuanza mechi ya hisani kuchangisha fedha kwa ajili ya wahanga wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera katika uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kati ya Wabunge mashabiki ya Yanga na wabunge mashabiki wa Simba. Yanga walishinda bao 5-2

 WAZIR Mkuu Kassim Majaliwaakikagua timu kabla ya kuanza mechi ya hisani kuchangisha fedha kwa ajili ya wahanga wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera katika uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kati ya Wabunge mashabiki ya Yanga na wabunge mashabiki wa Simba. Yanga walishinda bao 5-2
 Mshambuliaji wa timu ya wabunge mashabiki wa Yanga,Ridhiwan Kikwete akiwatoka wachezaji  wabunge mashabiki wa Simba. Yanga walishinda bao 5-2

Mshambuliaji wa timu ya wabunge mashabiki wa Yanga akiwa,Mwigulu Nchemba akiwapiga chenga wabunge mashabiki wa Simba. Yanga walishinda bao 5-2. Picha na Emmanuel Massaka, Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...