Meneja Masoko wa kinywaji cha Nzagamba kanda ya ziwa, Oscar Shelukindo akizungumza wakati wa droo ya kumtafuta mshindi wa Promosheni ya shinda Ng'ombe na Nzagamba kanda ya ziwa, lililofanyika katika eneo ya Magu jijini Mwanza, ambapo mwana mama Martha Peter aliibuka mshindi na kuondoka na Ng'ombe.
Sehemu ya Wakazi wa Mji wa Magu Jijini Mwanza wakiwa wamefurika kwa wingi kwenye eneo la Uwanja wa Stendi kushuhudia Promosheni ya shinda Ng'ombe na Nzagamba kanda ya ziwa, iliyofanyika jana, ambapo mwana mama Martha Peter aliibuka mshindi na kuondoka na Ng'ombe.
Mmoja wa Washiriki wa Promosheni ya shinda Ng'ombe na Nzagamba kanda ya ziwa akichanganya karatasi wakati wa kuchezesha droo ya kumtafuta mshindi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...