Mgeni Rasmi kwenye Uzinduzi wa maadhimisho ya siku ya Bahari Duniani ambaye ni Mkurugenzi wa Idara ya Usalama na Mazingira, Wizara ya Uchukuzi, Tumpe Mwaijande kushoto ambaye alimuwakilisha Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano,Makame Mbawara katika maashimidho hayo akiingia kwenye viwanja vya Tangamano kunakofanyika maadhimisho hayo katikati ni Mkurugenzi Mkuu wa Sumatra,Gilliard Ngewe kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga(Ras)Mhandisi Zena Saidi.
Afisa Mawasiliano Mwandamizi wa TPA,Focus Mauki kushoto akisisitiza jambo kwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama na Mazingira, Wizara ya Uchukuzi, Tumpe Mwaijande aliyesimama katikati wakati alipolitembelea Banda la Mamlaka ya Bandari (TPA) kunakofanyika maadhimisho ya siku ya Bahari Dunia wa kwanza kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Sumatra,Gilliard Ngewe.
Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA),Joseph Msaki kushoto akimueleza jambo Mkurugenzi wa Idara ya Usalama na Mazingira, Wizara ya Uchukuzi, Tumpe Mwaijande wakati alipotembelea Banda lao leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...