Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayesimamia
sekta ya Mawasiliano Prof. Faustin Kamuzora akizungumza wakati
akifunga mkutano wa wadau wa
sekta ya mawasiliano wa kujadili mkakati wa utekelezaji wa Sera mpya ya Taifa ya TEHAMA ya mwaka 2016.
Baadhi ya wadau wa sekta ya mawasiliano wakimsikiliza Katibu
Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayesimamia sekta ya
Mawasiliano Prof. Faustin Kamuzora (hayupo pichani) akizungumza wakati akifunga mkutano wa wadau wa kujadili mkakati wa utekelezaji wa Sera mpya ya Taifa ya TEHAMA ya mwaka 2016
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano upande wa sekta ya
Mawasiliano Mhandisi Clarence Ichwekeleza akitoa mada wakati wa Mkutano wa wadau wa
sekta ya mawasiliano wa kujadili mkakati
wa utekelezaji wa Sera mpya ya Taifa ya
TEHAMA ya mwaka 2016
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...