Msikiti Mabuluu mjini Unguja unavyoonekana kwa jicho la ndege
Msikiti Mabuluu mjini Unguja unavyoonekana unavyonogesha mandhari ya Unguja. Andiko la awali BOFYA HAPA


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Masha Allah! Japokuwa huu Mskiti MABULUU umejengwa miaka ya karibuni na Dr. Salmini Amour Juma 1996 (kama nilivyopitia maoni upande wa pili) ambaye ndiye aliyekuwa Raisi Mstaafu wa Zanzibar, lakini pia kwa mujibu wa khadithi za wazee wetu, inasemekana hapo mwanzo tayari kulikuwepo na Mskiti Mdogo sana katika maeneo hayo hayo, lakini naskia ukavunjwa mskiti huo na badala yake pembezoni ndio ikajengwa ile Hoteli ya Bwawani na ndoto za Mskiti uliovunjwa zikawa zimeishia na badala yake pakawa panajaa maji tu na kuota yale majani maarufu kama 'Makuruwili' kwa wenyeji wa Dodoma wanayajuwa. Then katika utawala wa 'Comandoo' Dr. Salmin Amour Juma ndio alipoamuwa kuujenga tena mskiti huo kama vile ulivyokuwa miaka hiyo ya mwanzo katika location za maeneo hayo hayo ya hapo ila ndio akaujenga katika kiwango bora na cha kisasa Mwenyeez Mungu amjaze Kheri. Lakini sio kuwa Mskiti huo ni wa miaka hii ya karibuni tu, la khasha! ulikuwepo tangu enzi za utawala wa Marehem Abeid Aman Karume Mola amlaze pema - Amen.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hii imenisaidia atleast coz nlipaswa nufanyie tafit lkn hamn source m1 ambayo imeelez vzr juu ya huu msikt. Nmetoka kumulza baba yng akanihadithia the same stry cha kujazia ameniambia umevunjwa enzi za karume lkn hakumbuk umekuwa rebuilt mwaka gan asant 🙏

      Delete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...