ANATAFUTWA KWA TUHUMA ZA WIZI
Herman Waheke Keraryo anatafutwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kugushi nyaraka na Hundi ya fedha ya Kampuni ya La Kairo Investiment Ltd ya Jijini Mwanza na kuiba amefunguliwa Jalada (RB) MW/IR/5446/2016 MWANZA.

Mkurugenzi wa Kampuni ya La Kairo Investiment Ltd anawaomba wananchi wanaomfahamu na watakao muona mtu huyo hapo juu kwenye picha watoe taarifa haraka kwake au katika Kituo chochote cha Polisi kilicho karibu ili kuwezesha kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo.

Zawadi nono ya fedha itatolewa kwa mtu ambaye atatoa taarifa itakayowezesha kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo.

Wasiliana kwa simu no. 0786 959 400/, 0783 778 778, 0684 005 000 au toa taarifa Kituo cha Polisi kilicho karibu nawe.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Zawadi nono bila kiwango haitii motisha!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...