Mkurugenzi wa Uuguzi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Agness Mtawa akipokea msaada wa majokofu sita kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Majembe Auction Mart Ltd, Sethi Moto. Majokofu hayo yatatumika kuhifadhi dawa katika wodi namba 16 Kibasila. Kulia ni Meneja wa Jengo la Kibasila, Sister Leonarda Lodovick.
Picha na John Stephen, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...