Mwenyekiti wa Baraza la Vijana
Zanzibar Khamis Rashid Kheri kushoto akiwa pamoja na Makamo Mwenyekiti
Maryam Ishau Abdalla wakionesha vyeti vyao walivyopatiwa baada ya
kuchaguliwa na kuzungumza na Waandishi wa Habari katika ukumbi wa Sanaa
Rahaleo Zanzibar.
Makamo Mwenyekiti wa Baraza la
Vijana Zanzibar Maryam Ishau akisisitiza jambo alipozungumza na
Waandishi wa Habari kuelezea mikakati walioiweka baada ya
kuchaguliwa,katika ukumbi wa Sanaa Rahaleo Zanzibar.
Baadhi ya Waandishi wa Habari
waliohudhuria katika mkutano wa Mwenyekiti pamoja na Makamo Mwenyekiti
wa Baraza la Vijana Zanzibar kuelezea mikakati walioiweka baada ya
kuchaguliwa,katika ukumbi wa Sanaa Rahaleo Zanzibar.
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana
Zanzibar Khamis Rashid Kheri akifafanua baadhi ya maswala yalioulizwa na
Waandishi wa Habari katika Mkutano wa kuelezea mikakati yao walioiweka
baada ya kuchaguliwa,katika ukumbi wa Sanaa Rahaleo Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...