Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Zanzibar Khamis Rashid Kheri kushoto akiwa pamoja na Makamo Mwenyekiti Maryam Ishau Abdalla wakionesha vyeti vyao walivyopatiwa baada ya kuchaguliwa na kuzungumza na Waandishi wa Habari katika ukumbi wa Sanaa Rahaleo Zanzibar.
kil1
Makamo Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Zanzibar Maryam Ishau akisisitiza jambo alipozungumza na Waandishi wa Habari kuelezea mikakati walioiweka baada ya kuchaguliwa,katika ukumbi wa Sanaa Rahaleo Zanzibar.
kil2
Baadhi ya Waandishi wa Habari waliohudhuria katika mkutano wa Mwenyekiti pamoja na Makamo Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Zanzibar kuelezea mikakati walioiweka baada ya kuchaguliwa,katika ukumbi wa Sanaa Rahaleo Zanzibar.
kil3
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Zanzibar Khamis Rashid Kheri akifafanua baadhi ya maswala yalioulizwa na Waandishi wa Habari katika Mkutano wa kuelezea mikakati yao walioiweka baada ya kuchaguliwa,katika ukumbi wa Sanaa Rahaleo Zanzibar.
 

PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...