Mwenyekiti wa Bodi ya Parole Dkt. Augustine Mrema akizungumza na Maafisa wa Jeshi la Magereza (hawapo pichani) wakati alipomtembelea Kamishna Jenerali wa Jeshi hilo ambaye pia ni Katibu wa bodi ya Parole John Casmir Minja (kushoto)ili kujua matatizo mbalimbali yanayoikabili bodi hiyo mapema hii leo jijini Dar es Salaam.
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Nchini ambaye pia ni Katibu wa bodi ya Parole John Casmir Minja akifafanua jambo kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Parole Dkt. Augustine Mrema wakati alipomtembelea ofisini kwake ili kujua matatizo mbalimbali yanayoikabili bodi hiyo mapema hii leo jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Bodi ya Parole Dkt. Augustine Mrema akiwa katika picha ya pamoja na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Nchini ambaye pia ni Katibu wa bodi ya Parole John Casmir Minja pamoja na baadhi ya maafisa ya hilo wakati Dkt. Mrema alipokwenda kumtembelea ili kujua matatizo mbalimbali yanayoikabili bodi hiyo mapema hii leo jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...