Naibu Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe, Hamad Masauni akisalimiana naAskari wa Uhamiaji
katika kituo cha Uhamiaji cha Namanga, Mkoani Arusha wakati alipokwenda kukagua
usalama wa mpaka huo ambapo aliwataka Askari hao kuendelea kufanya Oparesheni
za mara kwa mara ili kuhakikisha hakuna wahamiaji haramu ambao watapita katika
mpaka huo.
Naibu Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe, Hamad Masauni akitoka kukagua mojawapo ya ofisi
ya Uhamiaji katika mpaka wa Namanga, Mkoani Arusha wakati alipokwenda kukagua
usalama wa mpaka huo ambapo aliwataka Askari wa Uhamiaji katika kituo cha
Namanga kuendelea kufanya Oparesheni za mara kwa mara ili kuhakikisha hakuna
wahamiaji haramu ambao watapita katika mpaka huo.
Naibu Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe, Hamad Masauni akikagua mpaka wa Tanzania na
Kenya (Namanga), Mkoani Arusha wakati alipokwenda kukagua usalama wa mpaka huo
ambapo aliwataka Askari wa Uhamiaji katika kituo cha Namanga kuendelea kufanya
Oparesheni za mara kwa mara ili kuhakikisha hakuna wahamiaji haramu ambao
watapita katika mpaka huo.Katikati ni Mkuu wa kituo cha uhamiaji Namanga, Abdalah
Katimba na Mkuu wa Uhamiaji Mkoa wa Arusha, Bw. Mwakipesile.
(Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...