Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe, Hamad Masauni akisalimiana naAskari wa Uhamiaji katika kituo cha Uhamiaji cha Namanga, Mkoani Arusha wakati alipokwenda kukagua usalama wa mpaka huo ambapo aliwataka Askari hao kuendelea kufanya Oparesheni za mara kwa mara ili kuhakikisha hakuna wahamiaji haramu ambao watapita katika mpaka huo.
 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe, Hamad Masauni akitoka kukagua mojawapo ya ofisi ya Uhamiaji katika mpaka wa Namanga, Mkoani Arusha wakati alipokwenda kukagua usalama wa mpaka huo ambapo aliwataka Askari wa Uhamiaji katika kituo cha Namanga kuendelea kufanya Oparesheni za mara kwa mara ili kuhakikisha hakuna wahamiaji haramu ambao watapita katika mpaka huo.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe, Hamad Masauni akikagua mpaka wa Tanzania na Kenya (Namanga), Mkoani Arusha wakati alipokwenda kukagua usalama wa mpaka huo ambapo aliwataka Askari wa Uhamiaji katika kituo cha Namanga kuendelea kufanya Oparesheni za mara kwa mara ili kuhakikisha hakuna wahamiaji haramu ambao watapita katika mpaka huo.Katikati ni Mkuu wa kituo cha uhamiaji Namanga, Abdalah Katimba na Mkuu wa Uhamiaji Mkoa wa Arusha, Bw. Mwakipesile.
(Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...