Sehemu ya Madereva hao wakiwasikiliza viongozi waliojitokeza kuwapokea katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere |
Mmoja wa Madereva Bw. Athumani Fadhili akisimulia jinsi tukio lilivyotokea mpaka kuokolewa na Vyombo vya usalama nchini Kongo |
Naibu Waziri, Dkt. Susan Kolimba akiwa katika picha ya pamoja na madereva waliokuwa wametekwa nchini Kongo. |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...