Wafanyakazi wa kampuni ya Udalali ya Mzizima Auction Mart wakitoa vyombo vya Winfrida Nkungu Mpangaji wa shirika la nyumba NHC nyumba namba 838 Mtaa wa Senegal Upanga jijini Dar es salaam kutokana na kudaiwagharama ya Pango miezi tisa kiasi cha shilingi milioni mbili na laki tatu 2,300,000. Shirika la Numba la Taifa NHC liko kwenye kampeni kubwa ya kukusanya madeni yake maeneo mbalimbali nchini.
Wafanyakazi wa kampuni ya Udalali ya Mzizima Auction Mart wakikusanya nguo na vitu mbalimbali kwa ajili ya kutoa kwenye nyumba hiyo.
Wakiendelea kutoa vyombo nje.
Sehemu ya vyombo vikiwa nje baada ya kampuni hiyo kukamilisha kazi ya kutoa vyombo hivyo nje.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...