Mbunge wa Musoma Vijijini na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (wa tatu kutoka kulia) akizungumza jambo wakati wa makabidhiano ya vitabu vya shule za Sekondari na Msingi. Wengine katika picha ni baadhi ya wabunge wa Mkoa wa Mara kutoka vyama mbalimbali ambao walifika kwa ajili ya kukabidhiwa vitabu.
Mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kushoto) akimkabidhi vitabu Mbunge wa jimbo la Tarime, Ester Matiko (Chadema) katikati. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Musoma Dkt. Vicent Naano ambaye alishuhudia makabidhiano hayo.
Mbunge wa jimbo la Tarime Vijijini, John Heche (Chadema) kulia akitoa shukrani kwa Mbunge wa Musoma Vijijini na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (wa pili kushoto) mara baada ya kukabidhiwa vitabu vya shule za Msingi na Sekondari kwa ajili ya shule za jimbo lake. Wengine katika picha ni wabunge wa Mkoa huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...