Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine Shigella (wa kwanza kulia) kwenye boti wakati alipoitembelea Bandari ya Tanga kuona utendaji wao Katikati ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Mhandisi Zena Saidi na kushoto ni Kaimu Meneja wa Bandari wa Tanga Henry Arika
Kaimu Meneja wa Bandari ya
Tanga,Henry Arika wa pili kutoka kulia akisisitiza jambo kwa Mkuu wa
Mkoa wa Tanga,Martine Shigella wa pili kutoka kulia wakati alipofanya
ziara ya kuitembelea Bandari hiyo kuona namna inayofanya kazi kwa
ufanisi
Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine Shigella akipanda ngazi kuelekea kwenye meli ya mizigo iliyotia nanga bandari ya Tanga wakati wa ziara yake ya kuitembelea Bandari hiyo |
Katibu Tawala wa Mkoa wa
Tanga,Mhandisi Zena Saidi akipanda ngazi kuelekea kwenye meli hiyo
akifuatiwa na Katibu Tawala wa wilaya ya Tanga,Faidha Salim wakati wa
ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine Shigella.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine
Shigella wa kwanza kushoto akionyeshwa kitu na Katibu Tawala wa Mkoa wa
Tanga,(Ras) Mhandisi Zena Saidi wakati wa ziara yake ya kuitembelea
Bandari hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...