Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Tamisemi Mhe.George Simba Chawene akizungumza jambo na
Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako mara baada ya ya
kutembelea shule ya sekondari ya Ihungo ambayo imeathiriwa vibaya na Tetemeko
la Ardhi.
Waziri
wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Mhe.Jenista Mhagama akizungumza
na wahandishi wa habari kuhusu hatua ambayo serikali imechukua kusaidia ukarabati
wa shule ya Ihungo ambayo imeathiriwa vibaya na
Tetemeko la Ardhi.KUlia kwake ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Tamisemi Mhe.George Simba Chawene
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Tamisemi Mhe.George Simba Chawene akizungumza na
vyombo vya habari mara baada ya kutembelea shule ya sekondari ya Ihungo ambayo
imeathiriwa vibaya na Tetemeko la Ardhi.Kushoto kwake ni Waziri wa Sera,
Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Mhe.Jenista Mhagama.
Wafanyakazi wa VETA wakiendelea na ubomoaji wa
Shule ya Ihungo ambayo inavunjwa na
kujengwa upya kwa msaada wadau na Serikali baada ya kuathiriwa na tetemeko la
ardhi la hivi karibuni Mkoani Kagera.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...