Mwanafunzi wa shule ya msingi Genesis, Andrelia Muga (kushoto),
akichuana na wanafunzi wenzake ili kumpata mshindi katika shindano
la kutamka herufi lililodhaminiwa na kampuni ya Saruji Tanga ambalo
zaidi ya shule 50 za jijini Dar es Salaam zilishiriki.
Mwanafunzi wa shule ya msingi Genesis,Aggrey Marealle (kushoto),
akichuana na wanafunzi wenzake ili kumpata mshindi katika shindano
la kutamka herufi lililodhaminiwa na kampuni ya Saruji Tanga ambalo
zaidi ya shule 50 za jijini Dar es Salaam zilishiriki jijini humo
juzi.
Wanafunzi wa shule ya msingi Genesis wakishangilia baada ya shule
yao kuibuka kidedea katika shindano la kutamka herufi lililodhaminiwa
na kampuni ya Saruji Tanga ambalo zaidi ya shule 50 za jijini Dar es
Salaam zilishiriki.
Ofisa Masoko na Mawasiliano wa Kampuni ya Saruji Tanga, Hellen
Maleko (kushoto), akikabidhi kikombe kwa wanafunzi wa shule ya msingi
Genesis, baada ya shule yao kuibuka washindi wa jumla wa shindano la
kutamka herufi lililodhaminiwa na kampuni ya Saruji Tanga ambalo zaidi
ya shule 50 Dar es Salaam zilishiriki jijini humo jana.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...