Mmoja wa kamishna rais mstaafu Jakaya Kikwete.(Picha:Idhaa ya Kiswahili/video capture).
Mmoja
wa makamishna wa tume ya kimataifa ya kusaka uchangishaji kwa elimu
Duniani, amesema mapendekezo yao ya kuinua kiwango cha elimu
yasipozingatiwa, watoto wengi zaidi hatawakuwepo shuleni ifikapo mwaka
2030.
Jakaya
Kikwete ambaye pia ni Rais mstaafu wa Tanzania ameiambia Idhaa hii
jijini New York, Marekani baada ya uzinduzi wa ripoti yao kuwa,
Mapendekezo yao ni pamoja na mbinu mpya za uchangishaji ikiwemo taasisi za kimataifa za kibenki akisema kinachohitajika..
Ripoti
hiyo inasema serikali zisipowezeka katika elimu, watoto katika nchi
hususan za kipato cha chini watatwama kwenye mzungumzo wa umaskini na
kusalia bila stadi zinazohitajika.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...