SIMU.TV: Waziri mkuu Kassim Majaliwa ameitaka wizara ya elimu sayansi na teknolojia kuweka mikakati ya kuandaa wataalamu wengi wa afya nchini.https://youtu.be/5XzLPPizPlg

SIMU.TV: Umoja wa vilabu vya waandishi wa habari nchini umeiomba serikali kupitia upya sheria ya vyombo vya habari ili kulinda usalama wa wandishi wa habari wawapo kazini.https://youtu.be/tFYypOT4edM

SIMU.TV: Jamii imekumbushwa umuhimu wa kushirikiana na serikali katika kuleta maendeleo ili kuongeza kasi ya maendeleo nchini. https://youtu.be/S8_b4sd4iqE

SIMU.TV: Mkuu wa wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma amewataka vijana waliohitimu mafunzo ya JKT kuwa mfano wa uadilifu na uzalendo kwa jamii.https://youtu.be/m8I2Ra2rrrk

SIMU.TV: Shirika la nyumba la taifa NHC  limesema litaendelea kuwanyang’anya mashine za matofali walizokadhiwa vijana ili kujiinua kiuchumi lakini wakashindwa kuzifanyia kazi.https://youtu.be/koWDO4YvgCw

SIMU.TV: Jumla ya washindi kumi wa shindano la kamata mpunga linaloendesha na kampuni ya Vodacom Tanzania wamekabidhiwa zawadi zao. https://youtu.be/Vd3X4yAcX-U

SIMU.TV: Shirika la viwango Tanzania TBS limewahimiza wahandisi wa kada mbalimbali kuzingatia viwango katika miradi wanayoisimamia. https://youtu.be/x6QLU5DAASE

SIMU.TV: Vijana wametakiwa kutumia fursa mbalimbali kubuni miradi ya maendeleo ili kuweza kujikwamua kiuchumi. https://youtu.be/mzNQ1Hpad2U

SIMU.TV: Timu ya taifa ya Tanzania Taifa stars inatarajia kuingia uwanjani kesho kucheza na timu ya taifa ya Nigeria huko nchini Nigeria. https://youtu.be/np37nXPAH6U

SIMU.TV: Timu ya Simba ipo mkoani Dodoma kwa ajili ya kuchecha mchezo wake wa kirafiki na timu ya Polisi Dodoma ili kuamsha ari ya kimchezo katika mkoa huo.https://youtu.be/7UfbiskGDO8

SIMU.TV: Mkurugenzi wa kituo cha kukuzia vipaji vya wasanii cha Mkubwa na Wanawe leo ameonesha nyumba alizowaandalia wasanii wa kundi la ya moto band.https://youtu.be/5vsjntkqW2g

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...