SIMU.TV: Naibu waziri wa kilimo, mifugo na uvuvi William Ole Nasha, amesema serikali ya Korea na Tanzania zimedhamiria kukuza uchumi wa nchi kupitia sekta ya kilimo nchini;https://youtu.be/mlhJzUfY1d0

SIMU.TV: Mamlaka ya hali ya hewa nchini imetoa tahadhari ya uwepo wa mvua za chini ya wastani kutokana na kuwepo kwa joto la kawaida katika bahari ya Pacific;https://youtu.be/stppZ6SC35k

SIMU.TV: Mkutano wa nne wa bunge la 11 unatarajia kuanza siku ya kesho mjini Dodoma, pamoja na mambo mengine, miswada mbalimbali itajadiliwa baada ya kufanyiwa kazi na kamati; https://youtu.be/Clfvlo525SU

SIMU.TV: Katika kutekeleza agizo la Rais kuhamia mkoani Dodoma, wizara ya nishati na madini imeongeza nguvu ya umeme mkoani humo ili kukidhi ongezeko la watu;https://youtu.be/f7YF9TC8N6I

SIMU.TV: Sekretarieti ya jumuiya ya wazee chama cha wananchi CUF visiwani Zanzibar limepinga maamuzi yaliyofanywa na wazee wa jumuiya hiyo walioko Tanzania bara;https://youtu.be/DrlyoPXTtjE

SIMU.TV: Mkuu wa wilaya ya Uvinza Mwamvua Mrindoko, ameongoza mamia ya wakazi wa wilaya hiyo kwenye mazishi ya watoto 6 waliofariki jana katika ajali ya moto;https://youtu.be/ygtTM0w09nY

SIMU.TV: Waziri wa viwanda, biashara na uwezekezaji Charles Mwijage amewataka watanzania kutumia bidhaa zilizotengenezwa na viwanda vyetu vya ndani;https://youtu.be/VI3-nfoVU2k

SIMU.TV: Benki ya maendeleo nchini TIB imesaini mkataba na benki ya Posta ili kuwawezesha wateja wa TIB kupata huduma za kibenki kupitia benki ya Posta;https://youtu.be/W6yhCbzSgqQ

SIMU.TV: Benki ya KCB imetoa msaada wa shilingi milioni 75 kwa taasisi ya saratani ya Ocean Road ili kuweza kusaidia ukarabati wa hodi; https://youtu.be/VNppYeGTFKU

SIMU.TV: Wazazi na walezi nchini wametakiwa kuwahimiza watoto kupenda masomo ya sayansi ili kuweza kuongeza watalaamu wa sayansi nchini;https://youtu.be/Up0Xg5NaAMI

SIMU.TV: Makocha 26 wanaoshiriki kozi ya ukocha inayoratibiwa na shirikisho la mpira dunia FIFA wametakiwa kutumia ujuzi walionao kuendeleza soka la wanawake;https://youtu.be/f8RfAogDXS4

SIMU.TV: Chama cha mchezo wa Gofu nchini kimetakiwa kuimarisha mchezo huo kwa wanawake ikiwa ni pamoja na kupata viongozi wake; https://youtu.be/n3g_AGNdacg

SIMU.TV: Mabondia Mohamedi Matumla na Deo Samuel wametambiana kuibuka na ushindi kila mmoja katika pambano lao litakalofanyika mwishoni mwa mwaka huu;https://youtu.be/L5O1Csr1iZw

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...