Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Onorius Njole (kushoto), akizungumza katika semina ya siku moja kwa waandishi wa habari, iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere, Jijini Dar es salaam leo. Katika Semima hiyo, SSRA iliweza kuzungumzia namna inavyofanya shughuli zake za kuisimamia mifuko ya hifadhi za jamii. Wengine pichani ni Mkuu wa Idara ya Uhusiano na Uhamasishaji SSRA, Sarah Kibonde Msika (katikati) pamoja na Mkurugenzi wa Tafiti, Sera na Tathmini SSRA, Ansgar Mushi.
Mkuu wa Idara ya Uhusiano na Uhamasishaji Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Sarah Kibonde Msika (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari, katika semina ya siku moja iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere, Jijini Dar es salaam leo.
Mwandishi wa habari kutoka Azam Media, Wasiwasi Mwabulambo akiuza swali.
Mwandishi wa habari wa TBC, Angela Msangi akiuliza swali. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...