Mkurugenzi
wa Huduma za Sheria wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya
Hifadhi ya Jamii (SSRA), Onorius Njole (kushoto), akizungumza katika
semina ya siku moja kwa waandishi wa habari, iliyofanyika kwenye Ukumbi
wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere, Jijini Dar es salaam leo. Katika Semima
hiyo, SSRA iliweza kuzungumzia namna inavyofanya shughuli zake za
kuisimamia mifuko ya hifadhi za jamii. Wengine pichani ni Mkuu wa Idara
ya Uhusiano na Uhamasishaji SSRA, Sarah Kibonde Msika (katikati) pamoja
na Mkurugenzi wa Tafiti, Sera na Tathmini SSRA, Ansgar Mushi.
Mkuu
wa Idara ya Uhusiano na Uhamasishaji Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti
wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Sarah Kibonde Msika (katikati)
akifafanua jambo kwa waandishi wa habari, katika semina ya siku moja
iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere, Jijini Dar es
salaam leo.
Mwandishi wa habari kutoka Azam Media, Wasiwasi Mwabulambo akiuza swali.
Mwandishi wa habari wa TBC, Angela Msangi akiuliza swali.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...