Kila
mwaka shirika la Four Corner Culture Program (4CCP) huandaa tamasha la
kiutamaduni ili kukuza na kuenzi tamaduni halisi za kitanzania . Tamasha
la mwaka huu limekuwa la kipekee kutokana na matukio mablimbali ya
kimaendeleo na kiutamaduni yaliyofanyika .Ambapo Shirika la Norwegian
Church Aid kwa kushirikiana na 4CCP Hydom walizindua miradi mbali mbali
ya maendelea katika sekta ya maji (Visima)ili kupunguza tatizo kubwa la
maji linalo wakumba wananchi wa wilayani Mbulu mkoani Manyara na mkoa
jirani wa Singida.
Naibu Balozi Norway bwana TRYGVE BENDIKSBY .akizindua kisima cha maji kijiji cha ENDAGAW wilayani Mbulu. kutoka kulia ni TALE HUNGNES Mwakilishi Mkazi wa Shirika la NCA Tanzania,Mkuu wa wilaya ya Mbulu Mh.Flatey Massay, Balozi Msaidizi TRYGVE BENDIKSBY, Bwana Abeli Mfanyakizi wa NCA na Afisa Mradi wa WASH NCA Tanzania Bwana.Zakayo Makobelo.PICHA ZOTE NA IMANI NSAMILA.
Bwana Zakayo Makobelo akitoa ufafanuzi Juu ya kisima hiki kitumiacho Nishati ya Jua.
Mbunge wa Jimbo la Mkalama Mhe Allan Kiula akimtwisha ndoo ya maji mmoja wa akina mama wa kijiji cha Munguli wilayani Mkalama Mkoani Singida.
Mkuu Wa wilaya ya Mkalama Mkoani Singida na Mbunge wa Mkalama Mhe Allan Kiula wakionyweshwa Vifaa vifaa hivi vya kuzilisha nishati ya jua kwa ajili ya kusaidia Usamabazaji wa maji kijjijni.
Vijana wa YouthCAN wakitoa elimu YA MAZINGIRA,AFYA NA MAJI SALAMA kupitia muziki wakati wa Tamasha la kiutamaduni.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Naibu Balozi Norway bwana TRYGVE BENDIKSBY .akizindua kisima cha maji kijiji cha ENDAGAW wilayani Mbulu. kutoka kulia ni TALE HUNGNES Mwakilishi Mkazi wa Shirika la NCA Tanzania,Mkuu wa wilaya ya Mbulu Mh.Flatey Massay, Balozi Msaidizi TRYGVE BENDIKSBY, Bwana Abeli Mfanyakizi wa NCA na Afisa Mradi wa WASH NCA Tanzania Bwana.Zakayo Makobelo.PICHA ZOTE NA IMANI NSAMILA.
Bwana Zakayo Makobelo akitoa ufafanuzi Juu ya kisima hiki kitumiacho Nishati ya Jua.
Mbunge wa Jimbo la Mkalama Mhe Allan Kiula akimtwisha ndoo ya maji mmoja wa akina mama wa kijiji cha Munguli wilayani Mkalama Mkoani Singida.
Mkuu Wa wilaya ya Mkalama Mkoani Singida na Mbunge wa Mkalama Mhe Allan Kiula wakionyweshwa Vifaa vifaa hivi vya kuzilisha nishati ya jua kwa ajili ya kusaidia Usamabazaji wa maji kijjijni.
Vijana wa YouthCAN wakitoa elimu YA MAZINGIRA,AFYA NA MAJI SALAMA kupitia muziki wakati wa Tamasha la kiutamaduni.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...