Home
Unlabelled
Tanzania imekataa kusaini mkataba wa ushirikiano wa kibiashara ule unaozihusisha nchi za Afrika mashariki pamoja na Umoja wa ulaya yaani EPA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ni jambo jema kuona kwamba serilari ya awamu ya tano mmeliona hili. Uongozi bora ni pamoja na kuwa na uwezo wa kuona mbali. Nchi zilizoendelea zimekuwa zikifanya mchezo huu wa kuzibulula nchi masikini kwa kuwalambisha asali! Nchi zilizoendelea zimekuwa zikipenya saikolojia ya viongozi wa nchi masikini na nchi masikini kujikuta kwamba hatuna uamuzi wa mambo yetu wenyewe. Tuwaache hao waliosaini tayari, hata hivyo kwa nini swala hili halikuongelewa na nchi zote za Afrika ya Mashariki kabla ya baadhi ya nchi kusaini. Hii inaonekana wazi kuwa baadhi ya nchi katika umoja wa afrika ya mashariki ni vibaraka au wakala. Basi sisi kama watanzania tuwaache hao waliokwisha saini waendelee na utaratibu wao. Nchi zilizoendelea hawataki afrika tuwe na mambo yetu wenyewe kila jambo wanataka waingize pua zao sababu ikiwa ni moja, nayo ni kuturudisha nyuma kimaendeleo. ENZI HIZO KWA TANZANIA ZIMEKWISHA "THOSE DAYS ARE LONG GONE" na sasa ni "HAPA KAZI TU"
ReplyDeleteMungu ibariki Tanzania.